Home > Terms > Swahili (GB) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Cümlenin Öğesi: özel isim
  • Eş Anlamlı Sözcük(ler)
  • Sözcük Blogu
  • Sektör/Rtki Alanı Kültür
  • Kategori İnsan
  • Company:
  • Ürün
  • Kısaltma:
My Glossary'e ekle

Ne demek istiyorsunuz?

Tartışmalara katılmak için oturum açmanız gerekiyor.

Terimler Haberlerde

Öne Çıkan Terimler

Jonah Ondieki
  • 0

    Terms

  • 0

    Sözlükler

  • 1

    Followers

Sektör/Rtki Alanı Eğitim Kategori Öğretim

zao la kusoma

Ni tokeo la mchakato wa kusoma; yaaani kile mtu/mwanafuzi amesoma.

Katılımcı

Öne çıkan sözlükler

Capital Market

Kategori: Business   1 3 Terms

Bar Drinks

Kategori: Food   1 10 Terms